‏ Zechariah 6:1-4

Maono Ya Nane: Magari Manne Ya Vita

1 aNikatazama juu tena: nikaona mbele yangu magari manne ya vita yakija kutoka kati ya milima miwili, milima ya shaba! 2 bGari la kwanza lilivutwa na farasi wekundu, la pili lilivutwa na farasi weusi, 3 cla tatu lilivutwa na farasi weupe na gari la nne lilivutwa na farasi wa madoadoa ya kijivu, wote wenye nguvu. 4 dNikamuuliza malaika aliyekuwa akizungumza nami, “Hawa ni nani bwana wangu?”

Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.