‏ Psalms 2:2-3

2 a bWafalme wa dunia wanajipanga
na watawala wanajikusanya pamoja
dhidi ya Bwana
na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.
3 cWanasema, “Tuvunje minyororo yao
na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”

Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.