‏ Psalms 128:2-4

2 aUtakula matunda ya kazi yako;
baraka na mafanikio vitakuwa vyako.
3 bMke wako atakuwa kama mzabibu uzaao
ndani ya nyumba yako;
wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni
kuizunguka meza yako.
4 cHivyo ndivyo atakavyobarikiwa
mtu amchaye Bwana.
Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.