‏ Psalms 107:23-26


23 aWengine walisafiri baharini kwa meli,
walikuwa wafanyabiashara kwenye maji makuu.
24 bWaliziona kazi za Bwana,
matendo yake ya ajabu kilindini.
25 cKwa maana alisema na kuamsha tufani
iliyoinua mawimbi juu.
26 dYakainuka juu mbinguni, yakashuka chini hadi vilindini,
katika hatari hii ujasiri wao uliyeyuka.
Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.