‏ Psalms 106:43-45

43 aMara nyingi aliwaokoa
lakini walikuwa wamezama kwenye uasi,
nao wakajiharibu katika dhambi zao.

44 bLakini akaangalia mateso yao
wakati aliposikia kilio chao;
45 ckwa ajili yao akakumbuka agano lake,
na kutokana na upendo wake mkuu akapooza hasira yake.

Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.