‏ Proverbs 6:6-11


6 aEwe mvivu, mwendee mchwa;
zitafakari njia zake ukapate hekima!
7Kwa maana yeye hana msimamizi,
wala mwangalizi, au mtawala,
8 blakini hujiwekea akiba wakati wa kiangazi
na hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.

9 cEwe mvivu, utalala hata lini?
Utaamka lini kutoka usingizi wako?
10 dBado kulala kidogo, kusinzia kidogo,
bado kukunja mikono kidogo upate kupumzika:
11 ehivyo umaskini utakuja juu yako kama mnyangʼanyi,
na kupungukiwa kutakujia kama mtu mwenye silaha.

Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.

Everyone uses cookies. We do too! Cookies are little bits of information stored on your computer which help us give you a better experience. You can find out more by reading the STEPBible cookie policy.