‏ Mark 6:45-46

Yesu Atembea Juu Ya Maji

(Mathayo 14:22-33; Yohana 6:15-21)

45 aMara Yesu akawaambia wanafunzi wake waingie kwenye mashua watangulie kwenda Bethsaida, wakati yeye alikuwa akiwaaga wale makutano. 46 bBaada ya kuwaaga wale watu, akaenda mlimani kuomba.


Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.