‏ Mark 13:24-25

Kuja Kwa Mwana Wa Adamu

(Mathayo 24:29-31; Luka 21:25-28)

24 a “Lakini katika siku hizo, baada ya hiyo dhiki,

“ ‘jua litatiwa giza
nao mwezi hautatoa nuru yake;
25 b nazo nyota zitaanguka kutoka angani,
na nguvu za anga zitatikisika.’

Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.