‏ Luke 2:10-12

10 aLakini malaika akawaambia: “Msiogope. Kwa maana tazama nawaletea habari njema za furaha itakayokuwa kwa watu wote. 11 bLeo katika mji wa Daudi kwa ajili yenu amezaliwa Mwokozi, ndiye Kristo
Kristo maana yake ni Masiya, yaani Aliyetiwa mafuta.
Bwana.
12 dHii ndiyo itakayokuwa ishara kwenu: Mtamkuta mtoto mchanga amefunikwa nguo za kitoto na kulazwa katika hori ya kulia ngʼombe.”


Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.