‏ Job 7:16-19

16 aNinayachukia maisha yangu; nisingetamani kuendelea kuishi.
Niache; siku zangu ni ubatili.

17 b“Mwanadamu ni kitu gani hata umjali kiasi hiki,
kwamba unamtia sana maanani,
18 ckwamba unamwangalia kila asubuhi
na kumjaribu kila wakati?
19 dJe, hutaacha kamwe kunitazama,
au kuniacha japo kwa kitambo kidogo tu?

Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.