‏ Job 7:14-17

14 andipo wanitisha kwa ndoto
na kunitia hofu kwa maono,
15 bhivyo ninachagua kujinyonga na kufa,
kuliko huu mwili wangu.
16 cNinayachukia maisha yangu; nisingetamani kuendelea kuishi.
Niache; siku zangu ni ubatili.

17 d“Mwanadamu ni kitu gani hata umjali kiasi hiki,
kwamba unamtia sana maanani,

Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.