‏ Job 5:12-14

12 aHuipinga mipango ya wenye hila,
ili mikono yao isifikie ufanisi.
13 bYeye huwanasa wenye hekima katika hila yao,
nayo mipango ya wadanganyifu huifagilia mbali.
14 cGiza huwapata wakati wa mchana;
wakati wa adhuhuri hupapasa kama vile usiku.

Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.