‏ Job 12:7-9


7 a“Lakini ulizeni wanyama, nao watawafundisha,
au ndege wa angani, nao watawaambia;
8au zungumzeni na dunia, nayo itawafundisha,
au acheni samaki wa baharini wawape taarifa.
9 bNi nani miongoni mwa hawa wote asiyejua
kwamba mkono wa Bwana ndio uliofanya hili?

Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.