‏ Isaiah 9:14-15

14 aKwa hiyo Bwana atakatilia mbali kutoka Israeli kichwa na mkia,
tawi la mtende na tete katika siku moja.
15 bWazee na watu mashuhuri ndio vichwa,
nao manabii wanaofundisha uongo ndio mkia.

Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.