‏ Isaiah 3:13-14


13 a Bwana anachukua nafasi yake mahakamani,
anasimama kuhukumu watu.
14 b Bwana anaingia katika hukumu
dhidi ya wazee na viongozi wa watu wake:
“Ninyi ndio mlioharibu shamba langu la mizabibu,
mali zilizonyangʼanywa maskini zimo nyumbani mwenu.

Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.