‏ Genesis 10:21-29

Wazao Wa Shemu

21 aShemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.

22 bWana wa Shemu walikuwa:
Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
23 cWana wa Aramu walikuwa:
Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
24 dArfaksadi alikuwa baba wa Shela,
naye Shela akamzaa Eberi.
25Eberi akapata wana wawili:
Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
26Yoktani alikuwa baba wa:
Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
27 eHadoramu, Uzali, Dikla, 28 fObali, Abimaeli, Sheba, 29 gOfiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.

Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.