‏ Exodus 27:1-2

Madhabahu Ya Sadaka Ya Kuteketezwa

(Kutoka 38:1-7)

1 a“Jenga madhabahu ya mbao za mti wa mshita, kimo chake kiwe dhiraa tatu;
Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35.
itakuwa mraba, urefu wake dhiraa tano,
Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.
na upana wake dhiraa tano.
2 dTengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu ziwe zimeungana, na ufunike madhabahu kwa shaba.
Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.

Everyone uses cookies. We do too! Cookies are little bits of information stored on your computer which help us give you a better experience. You can find out more by reading the STEPBible cookie policy.