‏ Exodus 22:21-24

21“Usimtendee mgeni vibaya au kumwonea, kwa kuwa nanyi mlikuwa wageni huko Misri.

22 a“Usimdhulumu mjane wala yatima. 23 bKama ukifanya hivyo nao wakinililia, hakika nitasikia kilio chao. 24 cHasira yangu itawaka, nami nitawaua kwa upanga, wake zenu watakuwa wajane na watoto wenu watakuwa yatima.


Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.