‏ Ecclesiastes 3:19-21

19 aHatima ya mwanadamu ni kama ile ya wanyama; wote wana mwisho unaofanana: Jinsi anavyokufa mnyama, ndivyo anavyokufa mwanadamu. Wote wana pumzi inayofanana; mwanadamu hana cha zaidi kuliko mnyama. Kila kitu ni ubatili. 20 bWote huenda mahali panapofanana; wote hutoka mavumbini, mavumbini wote hurudi. 21 cNi nani ajuaye kama roho ya mtu huenda juu na roho ya mnyama hushuka chini ardhini?”


Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.