‏ Ecclesiastes 10:5-7


5Kuna ubaya niliouona chini ya jua,
aina ya kosa litokalo kwa mtawala:
6 aWapumbavu kuwekwa kwenye nafasi nyingi za juu,
wakati matajiri hushika nafasi za chini.
7 bMimi nimeona watumwa wamepanda farasi,
wakati wakuu wakitembea
kwa miguu kama watumwa.

Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.