‏ Deuteronomy 6:6-8

6 aAmri hizi ninazokupa leo zitakuwa katika moyo wako. 7 bWafundishe watoto wako kwa bidii. Nena kuhusu amri hizi uketipo nyumbani na wakati utembeapo njiani, ulalapo na uamkapo. 8 cZifunge kama alama juu ya mkono wako, na uzifunge juu ya paji la uso wako.
Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.