‏ Deuteronomy 5:2-3

2 aBwana Mungu wetu alifanya Agano nasi katika mlima wa Horebu. 3 bSi kwamba Bwana alifanya Agano na baba zetu, bali alifanya nasi, nasi sote ambao tuko hai hapa leo.
Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.