a
Isa 8:4
;
7:9
;
17:1-3
;
8:4
;
2Fal 10:33
;
Amo 2:6
Amos 1:3
Hukumu Juu Ya Majirani Wa Israeli
3
a
Hili ndilo asemalo
Bwana
:
“Kwa dhambi tatu za Dameski,
hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.
Kwa sababu aliipura Gileadi
kwa vyombo vya chuma vyenye meno.
Copyright information for
SwhNEN