‏ 2 Samuel 23:8

Mashujaa Wa Daudi

(1 Nyakati 11:10-41)

8 aHaya ndiyo majina ya mashujaa wa Daudi:

Yosheb-Bashebethi,
Yosheb-Bashebethi au Yashobeamu (1Nya 11:11).
Mtahkemoni, alikuwa kiongozi wa wale Watatu; yeye aliinua mkuki wake dhidi ya watu 800, ambao aliwaua katika pambano moja.


Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.