‏ 1 Samuel 2:8-9

8 aHumwinua maskini kutoka mavumbini
na humwinua mhitaji kutoka lundo la majivu;
huwaketisha pamoja na wakuu
na kuwafanya warithi kiti cha enzi cha heshima.

“Kwa kuwa misingi ya dunia ni ya Bwana;
juu yake ameuweka ulimwengu.
9 bYeye atailinda miguu ya watakatifu wake,
lakini waovu watanyamazishwa kwenye giza.

“Si kwa nguvu mtu hushinda;

Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.