‏ 1 Chronicles 3:1-3

1 aHawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni:
Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli;
wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;
2 bwa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri;
wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;
3 cwa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali;
wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.

Copyright information for SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.