Psalms 78
Mungu Na Watu Wake
Utenzi wa Asafu.
1 aEnyi watu wangu, sikieni mafundisho yangu,sikilizeni maneno ya kinywa changu.
2 bNitafungua kinywa changu kwa mafumbo,
nitazungumza mambo yaliyofichika, mambo ya kale:
3 cyale ambayo tuliyasikia na kuyajua,
yale ambayo baba zetu walituambia.
4 dHatutayaficha kwa watoto wao;
tutakiambia kizazi kijacho
matendo yastahiliyo sifa ya Bwana,
uweza wake, na maajabu aliyoyafanya.
5 eAliagiza amri kwa Yakobo
na akaweka sheria katika Israeli,
ambazo aliwaamuru baba zetu
wawafundishe watoto wao,
6 fili kizazi kijacho kizijue,
pamoja na watoto ambao watazaliwa,
nao pia wapate kuwaeleza watoto wao.
7 gNdipo wangeweka tumaini lao kwa Mungu,
nao wasingesahau matendo yake,
bali wangalizishika amri zake.
8 hIli wasifanane na baba zao,
waliokuwa kizazi cha ukaidi na uasi,
ambao roho zao hazikuwa na uaminifu kwake,
ambao roho zao hazikumwamini.
9 iWatu wa Efraimu, ingawa walijifunga pinde,
walikimbia siku ya vita.
10 jHawakulishika agano la Mungu
na walikataa kuishi kwa sheria yake.
11 kWalisahau aliyokuwa ameyatenda,
maajabu aliyokuwa amewaonyesha.
12 lAlitenda miujiza machoni mwa baba zao,
huko Soani, katika nchi ya Misri.
13 mAliigawanya bahari akawapitisha,
alifanya maji yasimame imara kama ukuta.
14 nAliwaongoza kwa wingu mchana
na kwa nuru kutoka kwenye moto usiku kucha.
15 oAlipasua miamba jangwani
na akawapa maji tele kama bahari,
16 palitoa vijito kutoka kwenye jabali lililochongoka,
akayafanya maji yatiririke kama mito.
17 qLakini waliendelea kutenda dhambi dhidi yake,
wakiasi jangwani dhidi ya Aliye Juu Sana.
18 rKwa makusudi walimjaribu Mungu,
wakidai vyakula walivyovitamani.
19 sWalinena dhidi ya Mungu, wakisema,
“Je, Mungu aweza kuandaa meza jangwani?
20 tAlipopiga mwamba, maji yalitoka kwa nguvu,
vijito vikatiririka maji mengi.
Lakini je, aweza kutupa chakula pia?
Je, anaweza kuwapa watu wake nyama?”
21 u Bwana alipowasikia, alikasirika sana,
moto wake ukawa dhidi ya Yakobo,
na ghadhabu yake ikawaka dhidi ya Israeli,
22 vkwa kuwa hawakumwamini Mungu,
wala kuutumainia ukombozi wake.
23 wHata hivyo alitoa amri kwa anga zilizo juu
na kufungua milango ya mbingu,
24 xakawanyeshea mana ili watu wale;
aliwapa nafaka ya mbinguni.
25Watu walikula mkate wa malaika,
akawatumia chakula chote ambacho wangeliweza kula.
26 yAliachia upepo wa mashariki kutoka kwenye mbingu
na kuuongoza upepo wa kusini kwa uwezo wake.
27 zAliwanyeshea nyama kama mavumbi,
ndege warukao kama mchanga wa pwani.
28Aliwafanya washuke ndani ya kambi yao,
kuzunguka mahema yao yote.
29 aaWalikula na kusaza,
kwa maana alikuwa amewapa kile walichotamani.
30 abKabla hawajamaliza kula walichokitamani,
hata kilipokuwa kingali bado vinywani mwao,
31 achasira ya Mungu ikawaka juu yao,
akawaua wale waliokuwa na nguvu zaidi miongoni mwao,
akiwaangusha vijana wa Israeli.
32 adLicha ya haya yote, waliendelea kutenda dhambi,
licha ya maajabu yake, hawakuamini.
33 aeKwa hiyo akamaliza siku zao katika ubatili
na miaka yao katika vitisho.
34 afKila mara Mungu alipowaua baadhi yao,
waliosalia walimtafuta,
walimgeukia tena kwa shauku.
35 agWalikumbuka kwamba Mungu alikuwa Mwamba wao,
kwamba Mungu Aliye Juu Sana alikuwa Mkombozi wao.
36 ahLakini walimdanganya kwa vinywa vyao,
wakisema uongo kwa ndimi zao,
37 aimioyo yao haikuwa thabiti kwake,
wala hawakuwa waaminifu katika agano lake.
38 ajHata hivyo alikuwa na huruma,
alisamehe maovu yao
na hakuwaangamiza.
Mara kwa mara alizuia hasira yake,
wala hakuchochea ghadhabu yake yote.
39 akAlikumbuka kwamba wao walikuwa nyama tu,
upepo upitao ambao haurudi.
40 alMara ngapi walimwasi jangwani
na kumhuzunisha nyikani!
41 amWalimjaribu Mungu mara kwa mara,
wakamkasirisha yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.
42 anHawakukumbuka uwezo wake,
siku aliyowakomboa kutoka kwa mtesi,
43 aosiku aliyoonyesha ishara zake za ajabu huko Misri,
maajabu yake huko Soani.
44 apAligeuza mito yao kuwa damu,
hawakuweza kunywa maji kutoka vijito vyao.
45 aqAliwapelekea makundi ya mainzi yakawala,
na vyura wakawaharibu.
46 arAliruhusu tunutu kuharibu mimea yao,
mazao yao kwa nzige.
47 asAliharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe
na mikuyu yao kwa mvua iliyochangamana na theluji.
48 atAliwaachia mifugo yao mvua ya mawe,
akayapiga makundi ya wanyama wao kwa radi.
49 auAliwafungulia hasira yake kali,
ghadhabu yake, hasira na uadui,
na kundi la malaika wa kuharibu.
50Aliitengenezea njia hasira yake,
hakuwaepusha na kifo,
bali aliwaachia tauni.
51 avAliwapiga wazaliwa wote wa kwanza wa Misri,
matunda ya kwanza ya ujana katika mahema ya Hamu.
52 awLakini aliwatoa watu wake kama kundi,
akawaongoza kama kondoo kupitia jangwani.
53 axAliwaongoza salama, wala hawakuogopa,
bali bahari iliwameza adui zao.
54 ayHivyo akawaleta hadi kwenye mpaka wa nchi yake takatifu,
hadi nchi ya vilima ambayo mkono wake wa kuume ulikuwa umeitwaa.
55 azAliyafukuza mataifa mbele yao,
na kuwagawia nchi zao kama urithi,
aliwakalisha makabila ya Israeli katika makao yao.
56Lakini wao walimjaribu Mungu,
na kuasi dhidi ya Yeye Aliye Juu Sana,
wala hawakuzishika sheria zake.
57 baKama baba zao, hawakuwa thabiti wala waaminifu,
wakawa wasioweza kutegemewa
kama upinde wenye kasoro.
58 bbWakamkasirisha Mungu kwa mahali pao pa juu pa kuabudia miungu,
wakachochea wivu wake kwa sanamu zao.
59 bcWakati Mungu alipowasikia, alikasirika sana,
akamkataa Israeli kabisa.
60 bdAkaiacha hema ya Shilo,
hema aliyokuwa ameiweka katikati ya wanadamu.
61 beAkalipeleka Sanduku la nguvu zake utumwani,
utukufu wake mikononi mwa adui.
62 bfAliachia watu wake wauawe kwa upanga,
akaukasirikia sana urithi wake.
63 bgMoto uliwaangamiza vijana wao,
na wanawali wao hawakuimbiwa nyimbo za arusi,
64 bhmakuhani wao waliuawa kwa upanga,
wala wajane wao hawakuweza kulia.
65 biNdipo Bwana alipoamka kama vile kuamka usingizini,
kama vile mtu aamkavyo kutoka kwenye bumbuazi la mvinyo.
66 bjAliwapiga na kuwashinda adui zake,
akawatia katika aibu ya milele.
67 bkNdipo alipozikataa hema za Yosefu,
hakulichagua kabila la Efraimu,
68 bllakini alilichagua kabila la Yuda,
Mlima Sayuni, ambao aliupenda.
69 bmAlijenga patakatifu pake kama vilele,
kama dunia ambayo aliimarisha milele.
70 bnAkamchagua Daudi mtumishi wake
na kumtoa kwenye mazizi ya kondoo.
71 boKutoka kuchunga kondoo alimleta
kuwa mchungaji wa watu wake Yakobo,
wa Israeli urithi wake.
72 bpNaye Daudi aliwachunga kwa uadilifu wa moyo,
kwa mikono ya ustadi aliwaongoza.
Copyright information for
SwhNEN
The selected Bible will not be clickable as it does not support the Vocabulary feature. The vocabulary is available by hovering over the verse number.
Welcome to STEP Bible
A simplified search is now available!Here are the frequently asked questions:
How do I read passages in Bibles?
- How do I look up a passage?
- How do I see three Bibles at once?
- How do I find a parallel gospel passage?
- How do I follow a Bible reading plan?
- How do I also see a commentary?
1) Click the Resource icon.
2) Click the resource for parallel gospel passage
2) Click the resource for parallel gospel passage
1) Click the Resource icon.
2) Plans for 1/2/3 years, chronological, Jewish etc
2) Plans for 1/2/3 years, chronological, Jewish etc
1) Click the Bible button.
2) Click on Commentaries
2) Click on Commentaries
How do I find words and phrases?
- How do I find words or topics?
- How do I search only some books in the Bible?
- How do I find a Greek or Hebrew word?
- How do I find a word only where it relates to a topic?
- How do I find more about search?
Video guide
1) Click on the search button
2) Click on Range
3) Select the books that you wish to search
1) Click on the search button
2) Click on Range
3) Select the books that you wish to search
Video guide
1) Click on the search button
2) Click on the Hebrew or Greek tab
3) Type in the Greek/Hebrew word in the search box, press Return, and wait for the table to fill itself.
4) View corresponding row to see Greek/Hebrew translation of the word
1) Click on the search button
2) Click on the Hebrew or Greek tab
3) Type in the Greek/Hebrew word in the search box, press Return, and wait for the table to fill itself.
4) View corresponding row to see Greek/Hebrew translation of the word
Video guide
1) Click on the search button
2) Click on the English tab
3) Type in the topic in the search box, press Return, and wait for the table to fill itself.
4) Click on one of the words or topics listed
1) Click on the search button
2) Click on the English tab
3) Type in the topic in the search box, press Return, and wait for the table to fill itself.
4) Click on one of the words or topics listed
How do I do a word study?
- What information can I find about a word?
- Meaning: how the word is used throughout the Bible
- Dictionary: academic details about the word
- Related words: similar in meaning or origin
- Grammar: (only available for some Bibles)
- Why do only some Bibles have clickable words?
- What does “~20x” or “Frequency” mean?
- Why do some words have dropdown next to the frequency number?
- Where do I find the maps?
- How do I get the word frequency for a chapter or a book?
When you click on a word, the detailed lexicon opens with:
'Vocabulary' Bibles link the translation to Greek & Hebrew. So far, only some Bibles have this vocabulary feature. They are shown in the Bible select screen with the letter 'V'.
It is the number of occurrences of a word in the Bible. Click on it to see them all in the selected Bible(s).
This reveals different forms for some words and names. These details are often interesting to scholars, eg the word 'beginning' in Genesis.
Video guide
1st method:
Click on a place name then on the Map button in the detailed lexicon.
2nd method:
1) Click the Resource icon.
2) Click on "Places in the Bible"
1st method:
Click on a place name then on the Map button in the detailed lexicon.
2nd method:
1) Click the Resource icon.
2) Click on "Places in the Bible"
Video guide
1) Click on the analysis icon.
2) Click on the "Selected passage" button if no analysis is shown.
1) Click on the analysis icon.
2) Click on the "Selected passage" button if no analysis is shown.
How do I find more information on original languages?
- How do I see Greek/Hebrew vocabulary for my Bible?
- How do I see Greek/Hebrew transliteration for my Bible?
- How do I see Greek/Hebrew vocabulary for a verse?
- How can I view multiple Bibles together as an Interlinear?
- How do I see the various versions of the Greek OT?
- How do I display the color-coded grammar?
Video guide
1) Click on the Bible translation button
2) Refer to the legend and select the Bible translations with the Vocab feature
3) Click on the Option button, then click "Interlinear options”, then select "Greek / Hebrew". Original language vocab will be shown.
1) Click on the Bible translation button
2) Refer to the legend and select the Bible translations with the Vocab feature
3) Click on the Option button, then click "Interlinear options”, then select "Greek / Hebrew". Original language vocab will be shown.
Video guide
1) Click on the Bible translation button
2) Refer to the legend and select the Bible translations with the Vocab feature
3) Click on the Option button, then click "Interlinear options”, then select "Transliteration".
1) Click on the Bible translation button
2) Refer to the legend and select the Bible translations with the Vocab feature
3) Click on the Option button, then click "Interlinear options”, then select "Transliteration".
Video guide
1) Click on the verse number to list the words and meanings
2) Hover over or click on a word for more details about the word
1) Click on the verse number to list the words and meanings
2) Hover over or click on a word for more details about the word
Video guides
1) Click on the Bible translation button
2) Refer to the legend and select two Bible with the vocabulary feature
3) Click on the Option button, then click Interlinear”. Interlinear will be shown.
1) Click on the Bible translation button
2) Refer to the legend and select two Bible with the vocabulary feature
3) Click on the Option button, then click Interlinear”. Interlinear will be shown.
1) Click on the Bible translation button
2) Select “Ancient” for the language
3) Scroll down to see the Greek OT translations
Examples
2) Select “Ancient” for the language
3) Scroll down to see the Greek OT translations
Examples
Video guide
1) Click on the Bible translation button
2) Refer to the legend and select the Bible translations with the grammar feature
3) Click on "G" or "Grammar" at the navigation bar. The text will then be color coded.
Examples
1) Click on the Bible translation button
2) Refer to the legend and select the Bible translations with the grammar feature
3) Click on "G" or "Grammar" at the navigation bar. The text will then be color coded.
Examples
© STEPBible - 2024